Friday, February 22, 2013

BEKI BLACK STARS (John Paintsil) AMEMSHAMBULIA MKEWE NA KUMJERUHI VIBAYA



 

Mlinzi wa Black stars(Ghana) amekamatwa na yupo chini ya pilice kwa kosa la kumjerui mkewe.
Taarifa hili imetolewa na kituo cha police cha mjini Accra, Greater Accra Police PRO Freeman Tettey kwenye intaview aliofanya na Joy News Muda mfupi uliopita.
Ilikiri kua ukweli bado haujajulikana ila sababu zilizopelekea kufanya hivyo na kutoelewana kati ya John na mkewe.
Taarifa ya mwandishi  Haruna Maiga alioko maeneo ya Legon police ambopo John Paintsil ameshikiliwa anasema kua John aliletwa police hapo akiwa na watoto wake watatu akiwa na kundi la police kama escot ya kumfikisha kituo cha police
Katika taarifa ya mwanzo katika jalada la police linasemakana John ameandikiwa makosa mawili kua amefanya shambulio na kutoa lugha chafu ya matusi kwa mkewe.

Mkewe, Richlove Paintsil aliruka ukuta wa nyuma yao na kuingia kwa nyumba ya jirani kujinusuru na ugomvi uliokua ukirindima ndani ya nyumba yao dhidi yake na mumewe John.
Richlove amejeruhiwa vibaya maeneo ya jicho na mumewe.
Ugomvi wote huo ulisababishwa na skendo zilizokua zikivuma kuhusu John kua alikua anatoka nje ya kambi kipindi cha kombe AFCON 2013 nnchi africa ya kusini kuwaletea wenzake wanawake wakustarehe nao ambayo ilipekea Black Stars kufanya vibaya
katika mashindano hayo skata hilo lilianzishwa na shabiki mmoja ambae pia ni mtangazaji wa redio Nnchi humo





No comments:

widgets

SPORTS NEWS