Saturday, February 23, 2013

Patrice Muamba uanjani tena




Yule mchezaji mahiri aliekua akikiputa kwenye timu ya bolton Wanderers alielazimishwa kustaafu baada ya kuangua kuanjani kwa tatito la moyo kusimama kwa muda wa masaa 78.

Jumapili hii atakua katika uanja wa taifa wembley akikabizi kombe kwa mshindi wa kombe la ligi


No comments:

widgets

SPORTS NEWS